Thursday, December 6, 2007

Wizi mpaka lini?


Kiongozi wa bendi ya muziki wa kizazi kipya inayokwenda kwa jina la The Atomic Band, Anoubakar Shaaban Katwila akilonga na wanahabari kuhusiana na makampuni ya nchini Kenya yalivyowaibia nyimbo zao na kuziuza kama milio ya simu bila taarifa.
Kushoto kwake ni Lumuliko Mengele, muwakilishi wa kampuni ya Push Mobile ambayo wameingia nayo mkataba kwa hapa Bongo na kushoto kwa Mengele ni Khaleed Mohamed, a.k.a TID

No comments: