Sunday, December 2, 2007

Toleo la jana


Kuna mdau wa mtoni jana kaniuliza kama nimepigwa chini kuendesha pullout kama mwanablogu mmoja hivi maarufu sana ambaye alipewa ya kiinglish akashindwa? Nimemjibu No, na uthibitisho ni huu, kitu cha jana hiki, ....nimekidesign na kukiEdit pia, ...kudadadeki!
Kuna stori humu ndani bwana, kumbe lile songi la Pipi Kijiti linalofanana na la 50Cent kumbe sio mali ya Langa Kileo? Ni ya huyu dada anaitwa Nyangi...
Kamata Kopi kama uko Bongo!

No comments: