Tuesday, September 8, 2009

BSS walivyoleta 'njaa' kwa mashabiki


Mwishoni mwa wiki kulikuwa na kazi temeke, baada ya kwenda Mlimani na Coco Beach kwa washua, watoto wa BSS walijaiachia TCC Chang'ombe na shoo ikawa kama hivi.
Huyo ni Beatrice

Sarafina naye alikuwepo...

Paschal naye kazini...

George aliwakilisha kihivi...

..Mwapwwani na mambo yake yaleeee...

Mtu mzima Msechu naye kazini...

Kisha kwa pamoja wakangia uwanjani...

..na Nyomi lilikuwa kihivi baaab!

Watoto wa Ilala


Mabinti kutoka Ilala wakijinadi kuliwakilisha vilivyo jiji la Dar es salaam katika kambi ya Miss Tanzania ambayo imeanza leo katika Hotel ya Girrafe View Hotel
Kambi ilianza rasmi jana

Yu wapi?


Tangu tusikie amekula shavu la Sony Music amekuwa kimya sana, washakunaku, wakunwaji wa masuala ya muziki na mashabiki wake, kwa pamoja wanaungana na kuuliza, yuko wapi?
Mwenye jibu alete

Sunday, September 6, 2009

BBR Dinner Party, kula haikuwa rahhisi kiviiiile...


Dada Furaha wa Multichoice bwana, leo aliwaambia watu hakuna kula mpaka mmalize kazi, watu ikabidi waingie mzigoni, hii ilikuwa meza yangu, kamanda wetu alikuwa Ambwene Yesaya

Jipangeni wanangu, sio ishu wala nini, kamanda Ambwene akiweka sawa wanawe!

..hatimaye watu wakafanikiwa...

The Revolution 2009


Big Brother nyingine inaanza leo vijana wanaingia kambini kuanzia saa 12 za jioni, tukae tayari...

...na humu, ..ndimo watakamojidai...

He, ..kawa mtangazaji?


Jamani, huyu si yule Charls wa Maisha Plus jama? ..haya nasikia kala shavu Clods TV, ..kaaazi kweli kweli..
Na tuisubiri

Umasaini...


...baada ya kuwapima pima sana warembo, majaji waliokuwa wakipiga misele ya kumtafuta kisura wa Tanzania mwaka huu, misele ambayo imedhaminiwa na Vita Matl Plus wakaamua kuweka pozi, kushoto ni Emmy Melau, Ally Remtullah a.k.a Superstar, na Nashino...
Kazi inaendelea

Mama Sambona


Misoji Nkwabi mshindi wa shindano la Bongo Star Search mwaka jana amemaliza kurekodi tamthilia inayoitwa Mama sambona nchini Ujerumani, kaa tayari kuiona, hapa ni wakati akiwa katika kuitengeneza

Saturday, September 5, 2009

Kwa hisani yenu...


Jamaa anatia huruma jama na tuzo anahitaji, ili kumfanikisha andika neno BHH AY kwenda 0789 777 333
Utakuwa umemsaidia sana

Anafaa?


Timu ya Kisura ikiendelea na kazi, hapa Emmy Melau na Ally Remtullah wakiwa kazini, kazi ilikuwa sio ndogo kama mnavyofikiria wadau

Friday, September 4, 2009

Msako


Msako wa kumtafuta Kisura wa Tanzania ambao mwaka huu uko chini ya udhamini mkubwa wa serengeti Breweries ndio uko kwa mahewa hivi, hapa mtu mzima Mussa nKisoki, shoto kabisa akiongoza timu za BTA na Sofia records kuifanya kazi nzima

Thursday, September 3, 2009

haya, ..huyu hapa! ..looh!


...dah wanazi wa mji walinipa mtihani, eti kama kweli mie nii la Nyeti, niwaoneshe sura ya Babra wa Clouds TV.
..hatimaye huyu hapa, ..Ooouph, haya sen]meni jingine na mkitaka kumuona kwa zaidi subirini Clouds TV, atakuwa anajiachia kwa sana tu

Kazi imeanza....


Nimerudi tena hewani kubwa la maadui a.k.a bedui, ...kudadadeki nimefufuliwa na zain ambayo imeniweka hewani muda wote, ...masaa 23456788 hewani!
...na ishu ninayoanza nayo ni ya Kisura wa Tanzania ambayo mwaka huu imedhaminiwa na Vita Malt, na huyu dada kwenye kamera anaitwa Brighter, ndio ataiendesha shughuli nzima, kaa tayari kuisikia.
Mwabheja sana!