Tuesday, September 8, 2009
BSS walivyoleta 'njaa' kwa mashabiki
Mwishoni mwa wiki kulikuwa na kazi temeke, baada ya kwenda Mlimani na Coco Beach kwa washua, watoto wa BSS walijaiachia TCC Chang'ombe na shoo ikawa kama hivi.
Huyo ni Beatrice
Sarafina naye alikuwepo...
Paschal naye kazini...
George aliwakilisha kihivi...
..Mwapwwani na mambo yake yaleeee...
Mtu mzima Msechu naye kazini...
Kisha kwa pamoja wakangia uwanjani...
..na Nyomi lilikuwa kihivi baaab!
Watoto wa Ilala
Yu wapi?
Sunday, September 6, 2009
BBR Dinner Party, kula haikuwa rahhisi kiviiiile...
The Revolution 2009
He, ..kawa mtangazaji?
Umasaini...
Mama Sambona
Saturday, September 5, 2009
Kwa hisani yenu...
Anafaa?
Friday, September 4, 2009
Msako
Thursday, September 3, 2009
haya, ..huyu hapa! ..looh!
Kazi imeanza....
Nimerudi tena hewani kubwa la maadui a.k.a bedui, ...kudadadeki nimefufuliwa na zain ambayo imeniweka hewani muda wote, ...masaa 23456788 hewani!
...na ishu ninayoanza nayo ni ya Kisura wa Tanzania ambayo mwaka huu imedhaminiwa na Vita Malt, na huyu dada kwenye kamera anaitwa Brighter, ndio ataiendesha shughuli nzima, kaa tayari kuisikia.
Mwabheja sana!
Subscribe to:
Posts (Atom)