Wednesday, February 24, 2010

Dah Manara...


Bado ngoma ngumu kwa aliyekuwa Katibu mwenezi wa Chama cha Mapinduzi, Haji Manara, baada ya kufanikiwa kupata dhamana jana, akakamatwa tena pale pale, ..hivi karudi tena rumande.
...kaaazi kweli kweli

Yanauzwa wapi na mi nikauze, nshachoka mie!


Kila nnayemuona town kabeba hili zigo mgongoni, wapi mnauza?

Tuesday, February 23, 2010

Isha mashauzi alivyozindua...


Nyomi hili bila shaka litakuthibitishia kwamba uzinduzi wa albam ya Mwanadada Aisha Ramadhani, a.k.k.k.k.a Isha Mashauzi, a.k.a Mamaa Mashetani inayokwenda kwa jina la Mama na Mwana ulifana, kundi zima la Jahazi lilimsindikiza, kama unataka kuziona kashda zaidi, ...shula ujionee, mimi nilikuwepo...

..shughuli muongozaji babu, ..aku!

..mashauzi yalitawala kama jina la mwimbaji mwenyewe...

Sanduku lilitangulia, mwenyewe je? ...tujage...

Full kjishaua mabegani, mwanamke hulka babu...

Mnh, ..hapa sijui alizimia?

..alipoibuka chacha, ..weweeeee!

Mfalme mwenyewe alikuwepo kusapoti mzigo...

Thursday, February 18, 2010

It's Kili time...


george Kavishe ambaye ni Meneja wa Bia ya Kilimanjaro na Katibnu mkuu wa Baraza la sanaa wakizindua rasmi tuzo za Kili Msimu huu wa 2009/2010. Mengi yameongelewa na kuna ahadi ya kwamba tuzo za mwaka huu zitaboreshwa zaidi...
...tungoje tuone

AY akimnong'oneza kitu, mkuu mpya wa Baraza la sanaa, Gonche Materego

George Kavishe akishikana mkono na Lady Jay Dee, kama ishara ya muungano mpya kati ya wasanii na Kilimanjaro Music Awards

George Kavighe, AY, Nyoshi na Mzee Yusuph wakishow luv mbele ya nembo ya tuzo ya Kili kwa mwaka huu...

TID na Dada jide ndio walitoka kistaa zaidi...

Friday, February 12, 2010

Fresh Jumbe nae...



Kiupi mambo yameanza cha kushangaza ndugu zatu akina ChidBenz, na Tundaman ambao kwenye matangazo ya awali tuliwaona, hawamo kwenye ratiba, ni kweli wamekimbia live perfomance?

Da'Kidude bado Fit


Weweiyaaaa, hapa ndio ile, ..Aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!

Tangu jana mtiti umeanza na Bi Kidude kama kawaida, ...akakamua!

Thursday, February 11, 2010

Busara 2010, pamoja tunasababisha...


Yusuph Mahmoud Director wa Busara Promotions akizindua rasmi ndani ya Ngome Kongwe...

Mbwembwe za uzinduzi mtaani zikawa hivi!

Ebwana daaaaah....

...hizi ni utangulizi tu, za usiku wa leo, angalia asubuhi na mapema, ...ntakuwa hewani!

Papic...


Mtu mzima Clinton, leo kawasilisha vielelezo vya kuwania u'Maximo