Wednesday, December 12, 2007

Wikiendi Nairoberia...


Jamani samahani kwa kutokuwa hewani kwa muda, nilikuwa Nairobi kuangalia hili na lole, nilishangaa kweli, na cha kwanza ambacho nawaonesha ni suala la displini, wenzetu wanapanda mabasi kwa foleni, ulikuwa unaijua hii? ...chukua kama vipi!

No comments: