Tuesday, December 4, 2007

Mr Favor


Moja ya mambo yanayokwamisha usafiri kwa kiasi kikubwa jijini Dar es Salaam ni foleni, na kuna jamaa husimama kati kati ya barabara na kuzisimamisha kazi taa, na kutuongoza wenyewe ndio wanachelewesha zaidi ingawa wenyewe wanadai wanatusaidia...
Wanadai wanatufanyia Favor na mimi ndio nawaita hivyo hivyo, ..mabwana favor

No comments: