Thursday, December 6, 2007

shavu....


Kocha wa timu yetu ya Taifa itakayoshiriki mashindano ya Chalenji, Marcio Maximo akilonga na wanahabari, huku akishuhudiwa na mhamasishaji mkuu wa timu hiyo Mohamed dewji kuhusiana na shavu alilotoa mhamasishaji huyo ambalo ni dola 30,000, ...iwapo timu itashinda, ..haya jiueni wanawane

No comments: