Monday, December 3, 2007

Mambo bado...


Suala la usafiri kwa wanetu bado ni gumu ingawa tunaambiwa kila siku kwamba angalau sasa tuna maendeleo, bila kujali hatma ya Taifa hili la kesho.
Hapa kuna kusoma kwa umakini kweli baada ya kupigana vipushi kwa sana na makonda? Hebu nipeni maoni...

No comments: