Wednesday, December 5, 2007

Mgonjwa wetu, ..bado kidogo


Kila mtu amekuwa akiniuliza kuhusiana na Emanuel Didas, ambaye alipasuliwa Mguu badala ya kichwa na sasa yuko India kwa matibabu, hii ilikuwa mara yangu ya mwisho kumuona pale Muhimbili, ...tunasubiri majibu jamani kuweni na subra...

No comments: