Friday, December 7, 2007

Kesho katikati ya Mwananchi


Kila Jumamosi ndani ya Gazeti l Mwananchi kuna hiki kitu kinaitwa Starehe kinahusiana na burudani na mimi ndio mhariri na msanifu kurasa mkuu wa kijarida hiki. Hili ni jibu baada ya lile swali la wafanyaje Bongo?
AHSANTE

No comments: