Monday, December 3, 2007

Transpotesheni!


Hapa sio kijijini, ni Mbezi Dar Es Salaam, usafiri uko mgumu sana, watu wameamua kurudisha zile za kuleeeeeee...baiskeli mwanangu, hapa ndio zinasafirisha abiria na chini zimepaki na madereva wake zinasubiri abiria....
Kudadadeki!

No comments: