Sunday, December 2, 2007

Kwa wanazi!

Kuna matatizo yalinipata, ya kibinadamu, ya walimwengu nikaamua kunyamaza kwanza. Si ukweli kwamba sijaweza ku'run' Blog, naweza ila tatizo ni kwamba hawa hawa wanaoisoma wanatafuta kila njia kuniharibu na ndio maana kwa miezi miwili nikawa naangalia sasa nifanyeje?
Nimekuja na maamuzi, ...naendelea na nitafanikiwa, na matusi naendelea kupokea, ..Mungu mkubwa, atanisimamia!
Life is so sweet...
Henry

No comments: