Thursday, December 6, 2007

Pop Idol tena...


Lile shindano la kumtafuta kijana mdogo mwenye kipaji cha kuimba limerudishwa tena na Multichoice baada ya kutulia kwa miaka, ...safari hii liko bora zaidi, hapa muwakilishi wa Kampuni ya Multichoice, Lucy Kihwele akiongea na wanahabari huku mshindi wa shindano hilo kwa mara ya mwisho akichekelea kwa pembeni, anaitwa Banana Zorro samahani kwa msiomjua, nilikuwa nishasahau kumtambulisha

No comments: