Sunday, December 2, 2007

Mchizi waaaangu!


Mchizi wangu Salama J, ni mmoja kati ya watu wanaonipa moyo sana wa kuendelea na maisha No Matter What, hapa tumekula pozi la KushowLOve baada ya Chit Chat na misele miwili mitatu ya weekend, tarajieni makubwa kutoka humu wazee!
....nimeamua!

2 comments:

Anonymous said...

OHH a nice one u all look superb

Anonymous said...

i really like her...