Wednesday, August 22, 2007

Ze Machozi Band!



Kila iJumaa wenyewe tunakuwa na dada Jide katika kaukumbi kamja hivi, kako nyuma ya mgahawa wa best Bite uko Namanga jijini Dar es Salaam. Ka'Club kanaitwa Ruaha.
Ni Machozi Band hapo kila Ijumaa, kwa masongi ya nyumbani na ya nje na ya Jide mwenyewe, Jiunge ne bendi yetu, ..Machozi bila kulia, ...kudadadeki!

No comments: