Saturday, August 25, 2007

Besta!


Jamani, ..huyu mtoto anaitwa Besta, juzi juzi hapa ndio kajitambulisha kwamba ni mtanzania lakini hapo awali alikuwa akifanya muziki wake uganda. Toto la kihaya hili tukitaka kujipa matumaini ya kumuona Beyonce huwa tunachukua kasi kwa huyu, ...jana Arusha, ilikuwa soo jama, mtoto sijui anajijua huyu kama nanihii....?

No comments: