Friday, August 31, 2007

Jokate


Kulia kabisa jamani anaitwa Jokate, huyu dada ni Miss Tanzania namba 2 ambaye ametunza heshima yake vilivyo, kesho anakabidhi taji la balozi wa Redds ambalo ameliwakilisha vema kwa mwaka mzima, shughuli ya kutafuta mrithi wake anaiendesha mwenyewe, hapa akishirikiana na wadau wa Sophia Records, Matukuta, wa pili kutoka kulia na Claud kushoto kabisa, huyu mwingine sijui anaitwaje vile...

No comments: