Friday, August 31, 2007

Sekioni


Kuna mdau kaniuliza hivi yule muigizaji Seki wa mambo hayo yuko wapi? Nimemuwekea hii makusudi ajue kwamba kijana siku hizi yuko Juu, ni mtangazaji wa kipindi cha City Sound, kiko kila Jumatatu na ni maarufu sana hapa Bongo na pia ni mtayarishaji wa kipindi cha Ze Comedy ambacho kina chati kuliko Big Brother ya mwaka huu!
Maigizo aliacha zamaaaani, na hapo ni moja ya matukio katika kipindi chake cha City Sound...

No comments: