Wednesday, August 22, 2007

Yalaaaa!


mwenyekiti wa Kamati ya Miss Tanzania akitangaza jinsi ya kuingia katika kinyang'anyiro ya huyo mlimbwende, kwa mwaka huu ambacho kitafanyika kwenye viwanja vya Leaders Club.
Kiingilio ni Tshs 75,000 za kitanzania bwana, halafu kuna udaku kwamba, onesho limeuzwa kwa Vodacom, kwa hiyo wapenda raha za bure a.k.a Complimentaries, mtafuteni Mafuru kama mnamjua!

No comments: