Sunday, August 19, 2007

Wazee wa Mujini!


Si unajua kwamba hawa vijana, wanaitwa AY na FA, wamejitoa juzi juzi hapa katika kundi la East Coast Team? Wanatoka kivyao sasa leo wameachia 'shughuli' yao inaitwa Asubuhi, ..wamemshirikisha Q Chief, ...ni balaa, we sikiliza redio utaipata habari yake!
Ibasemekana ni sehemu ya albam yao mpya itakayoitwa habari ndio hiyo...

No comments: