Friday, January 1, 2010

Zee la Nyeti wiki hii...


Acheni ukavu, ..toeni mashavu...

....dadadadeki..
Mwaka wa tabu uleeeee....
Big Up wanangu wote wa kitaa, tumesavaivu, ...ingawa mwaka dizaini kama ulikuwa sio hivi, watu walipigika ile ile, ..kila dili lilibuma mpaka ikafikia taimu watu wanaona, ...bore wakimbie mji, lakini mabontauni tukakomaa, mpaka mwaka umeisha na hakuna aliyeona diferensi, uongo mwanangu?
Big Up kwa wanangu wote waliokomaa kama mimi, kwenye Bata tulikuwemo, kwenye mitikasi kama kawa japo ilikuwa inabuma lakini hatukuwahi kuogopa ishu, ukija mchongo watu walikuwa wanapiga tu, matokeo mbele kwa mbele, ubume, uwe poa, ..kesho yake tu unakuta watu kitaani kama kawa, na Bata ni kuanzia Jumatatu mpaka Jumatatu.
Unabishaaa?
Haina kulaumu kudadadeki, kama uliharibu mwanzoni unafikiri ishu zitajimeki mwishoni kimiujiza? ..haina tangu mwanzo unatakiwa kujipanga fresh mwana, kweli mwaka ulizingua lakini mbona kuna ambao walikuwa poa tu? Nawashtua wana sasa, mwaka umeanza,..kama kkuna muda wa kujipanga ndio huu.
Usije kulaumu mida mida...
Mipango sio matumizi kajisemea mtu mzima Kingwendu Ngwendulile...
Si uliisikia ile ngoma yake kipindi kile, ...ilikuwa ina maana zake, na maana zenyewe ndio kama hizi.
Juzi nilikuwa na Deiwaka mwenzangu Sugu tunatathmini ishu mbiuili tatu za mwaka wa tabu tukashtukia kwamba wana wengi walibugi na waliokuwa kwenye chaneli hawakupiga ishu za maana kutokana na nini, waliokuwa wamewazunguka wengi kilikuwa hakijaeleweka, watu wakabaki kuonbeshana lav na nini, ..mambo ya msingi wakayapotezea.
Halafu dizaini, wana hawajashtuka hivi, wale waliokuwa kwenye chaneli bado wengine walikuwa wanammaindi kuwapa sapoti mademu zao, wanawaacha machizi wanapigika, wako kama hawajashtukia hivi kwamba ukiwezesha machizi, ni kama unaendeleza nchi hivi, machizi wanainvesti humu humu, mi leo ngoja kuna watu niwachane, wakimaindi kivyao au sio?
Mwaka huu japo ulikuwa wa tabu lakini, dizaini machizi tuliokuwa tunahangaika faa beki wote angalau watu wamepewa vioitengo nini, wanakamatia mfano mdogo mwanenu nimekabidhiwa kitengo cha Burudani na muziki hapa MCL, Ojuku Abraham, mhariri wa Bingwa, umeona? Mwanetu Jack Mbando katulia Tigo, Shyrose na Morris Njowoka wako NMB, Suka kala kitengo cha Muziki Clouds FM, na Seba Maganga ndio mkuu wa vipindi...
Kimsingi siwezi kuwattaja wote lakini dizaini mnaelewa kwamba wana, ambao tulikuwa tunakula Bata tangu enzi za pulsaidi, mpaka leo tunaegzisti, halafu tumekalia vitengo, unakubali?
Hii inatokana na ubishi na uwezo wa hivi vichwa, lakini tatizo liko moja, wanetu wa kitaa tunawasaidiaje? Watu tumekalia vitengo, halafu wana bado wanafanyishwa shoo za kilo tano, wakija wanaijeria tunawapa doola buku stini, ..haukamz?
Wana wanataka kutoka ikitaani wafanye mabiznes na nini, mnawapa shavu? Mikopo hii vipi akina Abdallah huko Stanbiki?
Siwachani kwamba muwapendelee wana kwa sababu ni wana, ila kiukweli, kitaa kuna vichwa ambavyo vikiwezeshwa hata sura na nchi itabadilika, utashangaa wana ndio wanakuwa mainvesta siku za mbeleni, unabisha?
Mashavu muhimu kupeana, kama uwezo upo, ila ndio hivyo, wana wanawaangalia watu wao, machizi wanaona poa kuwasapoti mademu zao hata kama hawana ishu za maana huku machizi wenye aidia za msingi wanapigika kitaani.
...sio mzuka wala nini....
Nimewamaindi!
Au dizaini mwana anataka umpige tafu unamwambia akupe mkwanja labda hivi, we mkwanja atakaokupa mwanao ambaye mnamingo wote kitaa utakusaidia nini? Mpe fadhila uone, ..samtaimz poa tu kupunguza hii mizinga ya buku tano tano, mpaka mwekundu hivi, tuwawezeshe wenzetu jama, au sio?
Najua hamjanimaindi.
Hepiniuyia....;

2 comments:

Anonymous said...

wow guys! survey the latest for free [url=http://www.casinolasvegass.com]casino[/url] games like roulette and slots !break into public notice like a sparkle the all modish unburden [url=http://www.casinolasvegass.com]online casino[/url] games at the all stylish www.casinolasvegass.com, the most trusted [url=http://www.casinolasvegass.com]online casinos[/url] on the entanglement! jab our [url=http://www.casinolasvegass.com/download.html]free casino software download[/url] and delight in money.
you can also control other [url=http://sites.google.com/site/onlinecasinogames2010/]online casinos bonus[/url] . check out this new [url=http://www.place-a-bet.net/]online casino[/url].

Anonymous said...

[url=http://www.onlinecasinos.gd]casino[/url], also known as utilitarian casinos or Internet casinos, are online versions of venerable ("amigo and mortar") casinos. Online casinos support gamblers to patron mad due to the fact that field a adverse in and wager on casino games line the Internet.
Online casinos habitually be neurotic up for reduced in price on the market odds and payback percentages that are comparable to land-based casinos. Some online casinos denote for on higher payback percentages payment apprehensive rolling-stock stance games, and some glean influence over known payout area audits on their websites. Assuming that the online casino is using an correctly programmed indefinitely concert-hall generator, develop apparent to games like blackjack suffer with an established borderline edge. The payout equity during these games are established via the rules of the game.
Differing online casinos be stricken down with or beget their software from companies like Microgaming, Realtime Gaming, Playtech, Worldwide Deviation Technology and CryptoLogic Inc.