Wiki hii tulikuwa Mwwanza, katika hii Street Dance Africa ya Malta mwaka huu na hawa ndio walikuwa washindi lakini ngoma iliendaje?
...tujage mwanawani!
Ngosha The Don, ...alitumbuizaaaaa....
Mwasiti akavua pendo mbaya....
...New Edition walishindaje? Cheki...
...vijana walioneshana style mbaya katika kudance na hawa walijiita Nice boyz
...Street Kings...
Ngoma ilifanyika Villa Park
No comments:
Post a Comment