Kutoka Bagamoyo kwa mshindi wa BSS mwaka jana, Bi Misoji Nkwabi(shoto)kumekuja salamu bendi inafanya mazoezi na hivi karibuni kutakuwa na gig la maana kwa wapenda Sweet reggae, hapa ni shavu na mwanetu Caesar ambaye ni mtangazaji wa shindano hilo mwaka huu, ...asenti!
No comments:
Post a Comment