Wednesday, May 27, 2009

Roho 6...


Filamu mpya ya Roho Sita itaingia sokoni hivi punde ikiwa imesheheni visa na mikasa visivyofikirika katika fikra za kawaida. Mkurugenzi wa Filamu za Tollywood Movies, Hamie Rajab ameiambia Starehe kuwa roho Sita ni kati ya sinema nzuri zenye ubora wa Kimataifa ambayo inaweza kulitambulisha soko letu la filamu duniani. Muvi hiyo itaingia mitaani Juni 1, 2009.

No comments: