Monday, May 18, 2009

Mwasitiiii


Mshindi wa tuzo ya Kili ya singo bora ya R&B kwa mujibu wa tuzo za kili siku hizi anapatikana kama ukiangalia vema ratiba za Odama Band, kila ijumaa na jumamosi, huwa anapiga mahala, hebu jaribu kumfuatilia, mmoja kati ya wanadada ambao watakaa vema kwenye medani kwa kuweza kucheza vema na bendi

No comments: