Wednesday, May 27, 2009

JK wa misele?


Juu ya kuwa Rais wa kwanza wa Afrika kukutana na Rais Mteule wa Marekani, gazeti la The Economist la tarehe 7 Mei, limemchana rais Jakaya kwamba badala ya kutatua migigiri ya nchini mwake, yeye anapiga misele tu kuitangaza nchi.
Limehesabu katika habari yake hiyo yenye kichwa "Tanzania: Waiting for the great leap foward" kwamba hii ni mara ya sita kwa Jalaya kuingia Marekani tangu ashike madaraka.

No comments: