Wednesday, May 27, 2009

Kama kawa kama dawa...


Ongeeeni eeeeh lakini wiki hii ndio wale watoto wa mikoani wanatua, na watakuwa Girrafe View Hotel ambapo watakuwa wanaanza ile kambi ya kitaifa ya Bongo Star Search, majaji wako fiti tayari kwa kazi ya kuhakikisha kwamba vipaji vinafikia hatua nyingine.
Ni hayo tu, ..asenti!

No comments: