Wednesday, May 27, 2009

Mambo yameiva...


Umeona bwana, Miss Tanga hii hapa, wiki ijayo inakuwa hewani, tarehe 6, mwezi ujao ndani ya uwanja wa Mkwakwani kutawaka Moto, kutakuwa na Matonya, Belle 9, ChidBenz, na msanii mojawapo wa kimataifa, unatakiwa kuwepo mzee, pichani ni Da' Asmah na Da'Sarah wakiwasilisha kwa wanahabari leo jijini.

No comments: