Tuesday, September 18, 2007

Naota...


Mwanangu, ndio nimeshuka kwenye hiki Kitu, nikaomba nile snepu moja kwanza nione kama napendeza? Toeni maoni, nataka kumiliki kitu kama hiki ifikapo 2012, Mungu ajaliapo uhai...

1 comment:

Ash said...

mbona huo mwaka uliotaja mbali mungu akujaalie mwaka huu upate, halafu umekupendeza kweli