Saturday, September 15, 2007

Kala amekula!


Unamkumbuka huyu jamaa? Anaitwa Kala Jeremiah, alikuwammoja kati ya washirikiwa Bongo Star Search mwaka jana,akashika nafasi kama ya nne hv, ..mwaka huu amek\kula shavu lautangazaji kwenye hiiTour ya kusaka vipaji ambayo wiki iliyopita ilikuwa Zanzibar, na leo mambo yanaendelea pale Blue Tripple A, ...kuna nyomi...

No comments: