Tuesday, September 25, 2007

..keshawasili...


Mheshimiwa Juma Kapuya ambaye jana aliripotiwa kupata ajali huko Tabora ambapo watu watatu waliokuwamo kwenye gari lake walipoteza maisha, akishushwa kutoka kwenye Ndege baada ya kuwasili kwenye uwanja wa Ndege wa Dar es Salaam kwa matibabu zaidi, ambapo kwa sasa amelazwa katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili

No comments: