Saturday, September 22, 2007

Full kujiachia...


Weekend hii bwana., watu wanajiachia, hawa ni wadau wa muziki wa kizazi kipya bwana, watoto wa TNG, wakiwa na Joh Makini, kushoto kabisa. B12 wa nne kutoka kushoto, na kisha Lord Eyes wa nako2Nako na mwisho kabisa mtoto anaitwa Makamua, ana traki lake linaitwa Why kwa sasa amempa shavu mtu mzima ChidBeeeeenz!

No comments: