Wednesday, June 3, 2009

Wa Hapahapa...


Jumapili ya tarehe 7 mwezi huu pale Coco Beach kutakuwa na bonge moja ya Party la uzinduzi wa albam mseto ya Wa Hapahapa, ambapo wanamuziki lukuki wa nyumbani watashiriki, miongoni mwao ni hawa hapa waliokuwa wakiongea nasi hivi karibuni katika Hopteli ya Southern Sun, kutoka kushoto ni Enikah Bukuku, Paul Ndunguru, Frorah Mbasha na Banana Zorro, ...kiingilio ni bure...

No comments: