Thursday, June 11, 2009

Baba na Mwana


Jumapili ijayo ya tarehe 21 June ni siku ya wababa, ..eh bwana kizungu inaitwa Fathrrs Day, sasa ona huyu ni Maunda na huyu ni Mzee Zahir Zorro, katika ile ambayo mimi na washkaji zangu tumeipachika jina la Show Luv

No comments: