Tuesday, June 9, 2009

Malta Guiness Street Dance Africa ya Tanga...


Tanga ilikuwa balaa tulikutana na vijana wanaojua kuzikata ngoma kwa kweli...


...cheki mwenyewe...


Na piaaaaa, ...matonya si alionesha staili mpya za steji shoo?


.....kwa Tanga hawa wanaitwa Faxers bwana walichukua ile kilo sita ya TBL kwa Tanga na wanatarajiwa kuja town mwezi ujaop kwa mashindano ya kimataifa

No comments: