Wednesday, June 3, 2009

Ngwasumaaaz...


FM Academia, wazee wa ngwasuma ndio bendi pekee ya muziki wa dansi ambayo imekula shoo nyingi sana msimu huu wa ulimbwende, hii ni kutokana na ukweli kwamba mshamini wao hana shobo, si unamjua?
Henekeeeeeene, ..kudadadeki!

No comments: