Sunday, September 6, 2009

Umasaini...


...baada ya kuwapima pima sana warembo, majaji waliokuwa wakipiga misele ya kumtafuta kisura wa Tanzania mwaka huu, misele ambayo imedhaminiwa na Vita Matl Plus wakaamua kuweka pozi, kushoto ni Emmy Melau, Ally Remtullah a.k.a Superstar, na Nashino...
Kazi inaendelea

No comments: