Sunday, September 6, 2009

BBR Dinner Party, kula haikuwa rahhisi kiviiiile...


Dada Furaha wa Multichoice bwana, leo aliwaambia watu hakuna kula mpaka mmalize kazi, watu ikabidi waingie mzigoni, hii ilikuwa meza yangu, kamanda wetu alikuwa Ambwene Yesaya

Jipangeni wanangu, sio ishu wala nini, kamanda Ambwene akiweka sawa wanawe!

..hatimaye watu wakafanikiwa...

No comments: