Thursday, September 3, 2009

Kazi imeanza....


Nimerudi tena hewani kubwa la maadui a.k.a bedui, ...kudadadeki nimefufuliwa na zain ambayo imeniweka hewani muda wote, ...masaa 23456788 hewani!
...na ishu ninayoanza nayo ni ya Kisura wa Tanzania ambayo mwaka huu imedhaminiwa na Vita Malt, na huyu dada kwenye kamera anaitwa Brighter, ndio ataiendesha shughuli nzima, kaa tayari kuisikia.
Mwabheja sana!

No comments: