Thursday, February 18, 2010

It's Kili time...


george Kavishe ambaye ni Meneja wa Bia ya Kilimanjaro na Katibnu mkuu wa Baraza la sanaa wakizindua rasmi tuzo za Kili Msimu huu wa 2009/2010. Mengi yameongelewa na kuna ahadi ya kwamba tuzo za mwaka huu zitaboreshwa zaidi...
...tungoje tuone

AY akimnong'oneza kitu, mkuu mpya wa Baraza la sanaa, Gonche Materego

George Kavishe akishikana mkono na Lady Jay Dee, kama ishara ya muungano mpya kati ya wasanii na Kilimanjaro Music Awards

George Kavighe, AY, Nyoshi na Mzee Yusuph wakishow luv mbele ya nembo ya tuzo ya Kili kwa mwaka huu...

TID na Dada jide ndio walitoka kistaa zaidi...

No comments: