Wednesday, February 24, 2010

Dah Manara...


Bado ngoma ngumu kwa aliyekuwa Katibu mwenezi wa Chama cha Mapinduzi, Haji Manara, baada ya kufanikiwa kupata dhamana jana, akakamatwa tena pale pale, ..hivi karudi tena rumande.
...kaaazi kweli kweli

No comments: